MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1590; Hakuna Tatizo Linaloondoka Kwa Kulikimbia…
Mbuni anapokutana na tatizo ambalo hawezi kulikabili, huwa anafukia kichwa chake kwenye mchanga. Kama vile asipoliona tatizo basi litaondoka lenyewe. Japokuwa sisi binadamu tuna uwezo mkubwa kuliko mbuni, lakini inapokuja kwenye matatizo makubwa, hatutofautiani sana na ndege hao. Watu wengi wanapokutana na matatizo makubwa, huwa wanajaribu kuyakimbia au kujificha, wakiamini