1590; Hakuna Tatizo Linaloondoka Kwa Kulikimbia…

By | May 9, 2019
Mbuni anapokutana na tatizo ambalo hawezi kulikabili, huwa anafukia kichwa chake kwenye mchanga. Kama vile asipoliona tatizo basi litaondoka lenyewe. Japokuwa sisi binadamu tuna uwezo mkubwa kuliko mbuni, lakini inapokuja kwenye matatizo makubwa, hatutofautiani sana na ndege hao. Watu wengi wanapokutana na matatizo makubwa, huwa wanajaribu kuyakimbia au kujificha, wakiamini

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz