MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1606; Kusema Mara Moja Haitoshi, Rudia Kusema Kila Mara…
Kama umekuwa unaona matangazo ya biashara ya kampuni mbalimbali, utakubaliana na mimi kwamba hakuna tangazo unaliona mara moja. Chukulia mfano wa kampuni za simu, kama unaishi maisha kawaida ya kutoka nyumbani kwako kwenda kwenye shughuli zako, utakutana na matangazo ya kampuni ya simu siyo chini ya mara kumi. Ukifungulia tv
