MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1608; Mategemeo Chanya Na Maandalizi Ya Matokeo Hasi…
Kufikiri chanya kumekuwa kunatumika vibaya na wengi. Wengi wanaamini kwamba ili ufanikiwe unachohitaji ni kufikiri chanya muda wote, kuwa na mategemeo chanya kwenye maisha hata pale unapopata matokeo ambayo siyo mazuri. Ni kweli kufikiri chanya na kuwa na mategemeo chanya kwenye maisha kunasaidia kuliko kuwa na fikra hasi na mategemeo