MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1620; Hii Kazi Unayojipa Siyo Yako, Unajitesa Bure…
Dunia ni kubwa na imejaa watu wa kila aina, Kuna watu wema na watu wabaya, kuna watu waaminifu na wasio waaminifu, kuna watu makini na walio wazembe. Hiyo ndiyo dunia, imekuwa hivyo kwa muda mrefu na itaendelea kuwa hivyo. Lakini wewe kwa sababu ambazo hatuzijui, umeamua kujipa jukumu la kuinyoosha