1630; Simulizi Mbili Kwenye Hadithi Ya Maisha Ya Mwanadamu…

By | June 18, 2019
Ipo kauli kwamba hakuna kipya kinachotokea chini ya jua. Kila tunachokiona sasa kilishatokea tena huko nyuma, kwa sasa kinaweza kutokea kwa njia tofauti au tukakikabili kwa namna tofauti, lakini ni kitu kile kile. Hivyo changamoto kubwa za dunia ni zile zile, zimekuwa zinajirudia kwenye kila kizazi. Na hii inazalisha simulizi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz