MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1630; Simulizi Mbili Kwenye Hadithi Ya Maisha Ya Mwanadamu…
Ipo kauli kwamba hakuna kipya kinachotokea chini ya jua. Kila tunachokiona sasa kilishatokea tena huko nyuma, kwa sasa kinaweza kutokea kwa njia tofauti au tukakikabili kwa namna tofauti, lakini ni kitu kile kile. Hivyo changamoto kubwa za dunia ni zile zile, zimekuwa zinajirudia kwenye kila kizazi. Na hii inazalisha simulizi