MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1637; Fedha Ni Zao La Tabia Hizi Kumi…
Kila mtu anataka kupata fedha zaidi, lakini ni wachache sana ambao wanapata fedha wanazotaka kwenye maisha yao. Hii ni kwa sababu wengi hawajui msingi sahihi wa fedha. Wengi wamekuwa wanakimbizana na fedha na hivyo hawazikamati, kwa sababu fedha zina kasi kuliko wao. Wachache wanazipata fedha wala hawazikimbizi, badala yake wanazivutia.