MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1639; Falsafa Ya Kushindwa Haraka Na Kushindwa Mapema…
Watu wengi wanaoanza kitu na kushindwa mwanzoni huona kama ni kitu kibaya kwao, huona kama ni kiashiria kwamba kitu hicho siyo sahihi kwao. Lakini huo siyo ukweli, kushindwa mapema kwenye kile unachofanya siyo kiashiria kwamba huwezi au siyo sahihi kwako, bali ni zawadi kubwa kwako. Makosa yoyote unayoyafanya mwanzoni mwa