MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1640; Usiogope Kuuza…
Kuuza ndiyo kitu ambacho kila mmoja wetu anafanya hapa duniani. Kila mtu kuna kitu anauza, iwe anajua au hajui, lakini wote tunauza. Kama una biashara unauza bidhaa na huduma kwa wateja wako. Kama umeajiriwa unauza muda na utaalamu wako kwa mwajiri. Na kama ni kiongozi unauza sera na maono yako
