1650; Nzuri Kabisa Au Mbaya Kabisa…

By | July 8, 2019
Sisi binadamu huwa tunapenda kufikiri na kufanya maamuzi yetu kwa kutumia kingo mbili. Tunapokubaliana na kitu basi tunakiona ndiyo kitu kizuri kabisa, kisichokuwa na kasoro yoyote. Na mtu yeyote anayetuambia kuna kasoro kwenye kitu hicho basi hajielewi au ana visa vyake. Kadhalika tunapokuwa hatukubaliani na kitu basi tunakiona ni kibaya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz