MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1650; Nzuri Kabisa Au Mbaya Kabisa…
Sisi binadamu huwa tunapenda kufikiri na kufanya maamuzi yetu kwa kutumia kingo mbili. Tunapokubaliana na kitu basi tunakiona ndiyo kitu kizuri kabisa, kisichokuwa na kasoro yoyote. Na mtu yeyote anayetuambia kuna kasoro kwenye kitu hicho basi hajielewi au ana visa vyake. Kadhalika tunapokuwa hatukubaliani na kitu basi tunakiona ni kibaya