MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1660; Ona Fursa Ya Kuwasaidia Wengine…
Kama kazi au biashara unayofanya inakuchosha, ni kwa sababu unaangalia upande ambao siyo sahihi. Iwapo unaangalia kazi au biashara unayofanya kwa kiasi cha fedha unachopata pekee, itakuwa ngumu sana kwako na hutaweza kukuza zaidi kipato chako. Lakini unapoangalia kazi au biashara unayofanya kama fursa ya wewe kuwasaidia wengine, unaifurahia, na