1660; Ona Fursa Ya Kuwasaidia Wengine…

By | July 18, 2019
Kama kazi au biashara unayofanya inakuchosha, ni kwa sababu unaangalia upande ambao siyo sahihi. Iwapo unaangalia kazi au biashara unayofanya kwa kiasi cha fedha unachopata pekee, itakuwa ngumu sana kwako na hutaweza kukuza zaidi kipato chako. Lakini unapoangalia kazi au biashara unayofanya kama fursa ya wewe kuwasaidia wengine, unaifurahia, na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz