MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1664; Unachofanya Siyo Sahihi…
Kama huwezi kujivunia kwa kile unachofanya, kama huwezi kuwa na hamasa kubwa kwenye kile unachofanya na kuwa tayari kumshawishi yeyote anayehusika na kitu hicho akubaliane na wewe, basi unachofanya siyo sahihi kwako. Inashangaza jinsi ambavyo watu wanafanya kazi au biashara ambazo hawawezi kujivunia nazo. Wakiwa mbele ya wengine hawathubutu kutaja