1669; Kutengeneza ‘Chipsi’ Bila Kuvunja Mayai…

By | July 27, 2019
Kama unataka kupika chipsi mayai, lazima kwanza uvunje mayai. Sasa kama unataka kula chipsi na mayai lakini hutaki kuvunja mayai, tayari umeshashindwa kabla hata hujaanza. Inapokuja kwenye safari ya mafanikio, wapo watu ambao wanataka kufanikiwa, lakini hawataki maisha yao yatikisike. Yaani wanataka waendelee kuwa na marafiki walionao, waendelee kupata mapumziko

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz