MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1672; Acha Kufanya Vitu…
Karibu kila mtu analalamika kwamba hana muda. Ukweli ni kwamba muda upo wa kutosha sana, ila ni namna gani tunatumia muda huo ndiyo inaleta tofauti kwenye maisha yetu. Pale unapokuwa huna muda, maana yake kuna vitu vingi unavyotaka kufanya kuliko muda ambao upo. Hivyo unapojaribu kufanya vitu hivyo, ndiyo unagundua