MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1685; Watu Hawa Wasikusumbue Unapofanikiwa…
Unapoanza kufanikiwa kwenye maisha yako, utakaribisha changamoto na usumbufu wa kila aina kutoka kwa watu mbalimbali. Wapo ambao watakuiga, watafanya kile unachofanya na kutaka kufanikiwa kama wewe. Hawa wanaweza kukufanya usumbuke, uone kwamba mafanikio yako yapo hatarini na ushindani utakuwa mkubwa. Lakini watu wa aina hii hawapaswi kukusumbua hata kidogo,