1686; Kuwa Mfuatiliaji Kwa Undani…

By | August 13, 2019
Uzembe ni moja ya vikwazo vikubwa kwenye mafanikio ya wengi. Na uzembe umekuwa unatengenezwa kidogo kidogo, kwa kukosa umakini kwenye ufuatiliaji wa kile kitu ambacho mtu unafanya. Kwa kila kitu unachofanya, unapaswa kuwa mfuatiliaji kwa undani, usiishie juu juu, chimba ndani zaidi, pata taarifa zaidi na jua kila kitu unachopaswa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz