MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1686; Kuwa Mfuatiliaji Kwa Undani…
Uzembe ni moja ya vikwazo vikubwa kwenye mafanikio ya wengi. Na uzembe umekuwa unatengenezwa kidogo kidogo, kwa kukosa umakini kwenye ufuatiliaji wa kile kitu ambacho mtu unafanya. Kwa kila kitu unachofanya, unapaswa kuwa mfuatiliaji kwa undani, usiishie juu juu, chimba ndani zaidi, pata taarifa zaidi na jua kila kitu unachopaswa