1697; Kitu Kimoja Ambacho Huwezi Kukipata Kwa Wengine Unapoanzisha Biashara…

By | August 24, 2019
Watu huwa wanasema hawajaingia kwenye biashara kwa sababu hawana mitaji, hawana muda, hawana wazo zuri, hawana uzoefu au hawana mwongozo sahihi. Lakini hizo zote siyo sababu za kweli, kwa sababu vitu vyote hivyo unaweza kuvipata kwa wengine hata kama wewe huna. Kama huna mtaji unaweza kuupata kwa wengine kupitia njia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz