MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1710; Kitu kimoja wasichopenda watu, na jinsi ya kukitumia vizuri…
Watu hawapendi upweke, hawapendi kuwa upande wao peke yao, wanapenda kuwa kwenye kundi kubwa, kwa namna wanavyofikiri na kufanya maamuzi. Hii ndiyo sababu dini, jumuia mbalimbali, vyama vya siasa na hata timu za michezo huwa zinapata wafuasi, hata kama zinaonekana ni za hovyo kiasi gani. Watu wanapenda sana kuamini kwenye