MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1721; Thamini Muda Wa Wengine…
Kanuni nzuri ya kuendesha maisha yako ni sheria ya dhahabu, ambayo inasema watendee wengine vile ambavyo ungependa wakutendee wewe pia. Yaani kama kuna kitu ambacho hupendi wengine wakufanyie, basi na wewe usiwafanyie wengine. Lakini kama ilivyo kwenye mambo mengi ya maisha, ni rahisi kusema kuliko kufanya. Na hii ni kwa