1721; Thamini Muda Wa Wengine…

By | September 17, 2019
Kanuni nzuri ya kuendesha maisha yako ni sheria ya dhahabu, ambayo inasema watendee wengine vile ambavyo ungependa wakutendee wewe pia. Yaani kama kuna kitu ambacho hupendi wengine wakufanyie, basi na wewe usiwafanyie wengine. Lakini kama ilivyo kwenye mambo mengi ya maisha, ni rahisi kusema kuliko kufanya. Na hii ni kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz