1730; Siyo Fedha Wala Muda, Bali Kipaumbele…

By | September 26, 2019
Sina fedha ya kumudu kitu hicho na sina muda wa kufanya kitu hicho ni visingizio viwili ambavyo karibu kila mtu amekuwa anavitumia kwenye baadhi ya mambo anayofanya. Tumekuwa tunaona kama hivi ndiyo vikwazo kwetu kupiga hatua zaidi kwenye maisha, kwamba kama tusingekuwa na ukomo wa fedha au muda, basi tungeweza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz