MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1733; Kitu Kimoja Ambacho Kifo Kinatukumbusha…
Kila mmoja wetu atakufa, hilo halina ubishi. Ambacho wengi wetu hatujui ni siku na saa ya tukio hilo kutokea. Hivyo kwa kutokujua huko, watu wamekuwa wanapokea tofauti swala hilo la kifo. Wapo ambao huona hakuna haja ya kujisumbua sana na maisha kwa sababu mwisho wa siku utakufa, hivyo hata ukijihangaisha