MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1739; Unachagua Kulipa Keshi Au Mkopo?
Kila mtu kuna gharama lazima alipe kwenye maisha yake, hakuna anayeweza kukwepa hilo. Ambacho mtu anaweza kuchagua ni kulipa keshi au mkopo, yaani kulipa sasa au kulipa baadaye, lakini hakuna anayeweza kukwepa kulipa. Kulipa keshi ni pale unapochagua kuikabili gharama unayopaswa kulipa sasa, kuweka kazi na juhudi sasa ili kupata