1742; Udhaifu Unachangia Kwenye Uimara…

By | October 8, 2019
Ushauri wa zamani kwenye mafanikio ulikuwa ni uyajue madhaifu yako, kisha ukazane kuwa imara kwenye madhaifu hayo. Lakini kitu kimoja kilitokea kwa wale waliofuata ushauri huo, madhaifu yao yalizidi kuwa imara, na yale ambayo walikuwa imara wakawa dhaifu. Hivyo wakaishia kuwa vibaya kuliko walivyokuwa awali. Ushauri wa sasa kwenye mafanikio

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz