MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1749; Mitandao Ya Kijamii Imetupa Funzo Hili Muhimu Sana…
Kabla ya kuja kwa mitandao ya kijamii, ilikuwa rahisi sana kuwaamini watu kwenye kile wanachotuambia. Tumekuwa tunaona mambo kwa nje na kuamini ndani pia mambo ni mazuri kama yanavyoonekana nje. Lakini ukuaji wa mitandao ya kijamii imefanya tuone kitu cha tofauti kabisa. Watu ambao tunayajua maisha yao kwa uhalisia, wanapoweka