1749; Mitandao Ya Kijamii Imetupa Funzo Hili Muhimu Sana…

By | October 15, 2019
Kabla ya kuja kwa mitandao ya kijamii, ilikuwa rahisi sana kuwaamini watu kwenye kile wanachotuambia. Tumekuwa tunaona mambo kwa nje na kuamini ndani pia mambo ni mazuri kama yanavyoonekana nje. Lakini ukuaji wa mitandao ya kijamii imefanya tuone kitu cha tofauti kabisa. Watu ambao tunayajua maisha yao kwa uhalisia, wanapoweka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz