MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1752; Kama Unataka Kuheshimiwa…
Anza kujiheshimu wewe mwenyewe. Huwa tunataka wengine watuheshimu, watutambue kwa umuhimu wetu na mchango mkubwa tunaofanya. Lakini je, sisi wenyewe tunajiheshimu? Sisi wenyewe tunajitambua kwa nafasi, umuhimu na mchango tulionao? Kwa sababu chochote ambacho tunataka wengine watupe, huwa wanaanza kuangalia kama tunajipa sisi wenyewe kitu hicho. Kama tunajipa basi na