MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1753; Unanishangaza Unapolalamika…
Mimi siyo muumini wa kulalamika au kuwalaumu wengine. Mimi ni muumini wa kuchukua hatua, kama kuna kitu sikipendi basi nakibadili na kama siwezi kukibadili basi naachana nacho na kufanya mambo mengine. Lakini kuna wengi wanapenda kulalamika, na wanajishawishi kwamba wana haki ya kulalamika, kwa sababu labda wameonewa, wamedhulumiwa au kufanyiwa