MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1764; Kutokupata Kila Unachotaka Ni Manufaa Kwako…
Ipo kauli moja ya utani kwamba pale Mungu anapotaka kutuadhibu, huwa anatupa kila tunachotaka. Kauli hiyo siyo tu ya utani, bali imebeba ukweli mkubwa sana kuhusu maisha. Unaweza kuona maisha yako hayajakamilika kwa sababu kuna vitu unataka lakini bado hujavipata, lakini hilo lina manufaa kwako. Kwa kukosa baadhi ya vitu