1766; Punguza Hiyo Mizigo, Ndiyo Inayokuzuia Usifanikiwe…

By | November 1, 2019
Maisha ni magumu, lakini kuna wakati huwa tunayafanya yawe magumu kuliko yanavyopaswa kuwa. Na tumekuwa tunafanya hivyo kupitia kujibebesha mizigo isiyo kuwa na maana wala manufaa yoyote kwetu. Kwa asili, kitu chochote kisichokuwa na matumizi kwenye mwili huwa kinaondolewa. Ndiyo maana utakula chakula ambacho ni kitabu mno, ambacho huenda umekigharamia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz