1770; Unapoteza Muda Wako Kujifunza Na Kusoma Vitabu…

By | November 5, 2019
Unapoteza muda wako kujifunza na kusoma vitabu, kama mwisho wa siku unaendelea na maisha yako kama yalivyokuwa kabla hujajifunza. Lengo la kujifunza vitu vipya siyo kujua vitu hivyo vipya na kujisifia kwamba unajua sana. Bali kutumia yale uliyojifunza kuweza kuwa bora zaidi. Hivyo ukishajifunza unapaswa kubadili maisha yako na kufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz