MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1798; Kujilinganisha Na Wengine…
Kama unataka kufanikiwa, kitu cha kwanza unachopaswa kufanya ni kujitofautisha na watu wengine. Kufanya kile ambacho kila mtu anafanya ni kujiandikisha kwenye darasa la walioshindwa. Watu wengi wamekuwa wanatumia kujilinganisha na wengine kama njia ya kupiga hatua kwenye maisha yao, wanaangalia wengine wamefanya nini au wamefika wapi na hivyo kuangalia