MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1808; Kama Huna Muda Na Nguvu Za Kutosha…
Kwenye kila jambo unalofanya kwenye maisha yako, kuna njia mbili mbele yako. Kuna njia ndefu, ambayo ndiyo sahihi, lakini ngumu na yenye changamoto nyingi. Halafu kuna njia fupi ambayo ni ya mkato, rahisi lakini isiyo sahihi. Kwa kuwa binadamu hatupendi ugumu, wote huwa tunashawishiwa kujaribu njia ya mkato, kwa kuamini