MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1812; Kwa Nini Hupati Unachotaka…
Ni kwa sababu hujui kwa hakika nini unachotaka. Na kama unajua, basi hujajitoa kweli kuhakikisha kwamba unakipata. Ndiyo maana kila fursa mpya inayojitokeza inakuyumbisha. Ndiyo sababu kila mwaka unajaribu biashara mpya, ukikutana na ugumu unaacha na kwenda kujaribu biashara nyingine. Kanuni ya kwanza ya kupata unachotaka ni kujua kwanza kile