MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1814; Wewe Kama Biashara…
Moja ya vitu vinavyowazuia watu wengi kupiga hatua kwenye maisha ni kukosa kipimo sahihi cha kujipima na kujifanyia tathmini kwenye maisha yao. Wengi wanaishi kwa mazoea, leo wakifanya kile walichofanya jana, na kesho kwenda kufanya kile walichofanya leo. Halafu wanaweza kulalamika kwa nini wanajituma sana lakini hawafanikiwi. Rafiki, ili ufanikiwe,