MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1819; Kilele Cha Mafanikio…
Hadithi za watu wote ambao waliwahi kufanikiwa sana lakini baadaye wakaanguka huwa zinaeleza maisha ya watu hao wakati walipokuwa kwenye kilele cha mafanikio. Kilele cha mafanikio ndiyo sehemu hatari kuliko zote katika safari ya mafanikio. Kwa sababu ndiyo sehemu ambayo mtu anaanza kuporomoka na kuanguka. Ni kanuni ya asili kwamba