MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1821; Rahisi Na Sahihi…
Kwenye kila hali unayopitia au kukutana nayo kwenye maisha yako, unakuwa na machaguo mawili mbele yako. Chaguo la kwanza ni kitu rahisi kufanya, hili utaliona haraka. Ni kile ambacho kinakuwa rahisi kwako kufanya, hakikuumizi wala kukusumbua, ndiyo ambacho kila mtu anafanya. Lakini kilicho rahisi kufanya, mara nyingi huwa kinazalisha matatizo