MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1826; Anza Na Furaha…
Kikwazo kingine kwenye mafanikio ya wengi ni kufikiri wakishafikia lengo fulani au kupata kitu fulani ndiyo watakuwa na furaha. Ukweli ni kwamba mambo huwa hayaendi hivyo, kama unafanya kitu kwa lengo la kupata furaha utakapokamilisha, ni njia ya uhakika ya kujikosesha furaha. Badala yake unapaswa kuanza na furaha, furaha inapaswa