1826; Anza Na Furaha…

By | December 31, 2019
Kikwazo kingine kwenye mafanikio ya wengi ni kufikiri wakishafikia lengo fulani au kupata kitu fulani ndiyo watakuwa na furaha. Ukweli ni kwamba mambo huwa hayaendi hivyo, kama unafanya kitu kwa lengo la kupata furaha utakapokamilisha, ni njia ya uhakika ya kujikosesha furaha. Badala yake unapaswa kuanza na furaha, furaha inapaswa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz