1837; Tunathamini Zaidi Vinavyopotea…

By | January 11, 2020
Tunajua hili, kwamba sisi binadamu tunasukumwa kuchukua hatua kwa hisia kuu mbili, tamaa na maumivu. Tunafanya kile ambacho kinatupa manufaa na kuacha kile ambacho kinatupa maumivu. Kwenye tamaa, ipo nguvu kubwa sana inayotusukuma kuchukua hatua, ambayo ndani yake pia kuna maumivu kama tusipochukua hatua. Nguvu hiyo ni uhaba. Tunapojua kwamba

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz