1844; Uwekezaji Ulioufanya Kwenye Mafanikio Yako…

By | January 18, 2020
Huwezi kwenda kwenye shamba, ukapanda mbegu halafu ukaondoka na kusubiri kuja kuvuna. Asili haifanyi kazi hivyo, ni lazima ufanye uwekezaji mkubwa kwenye shamba hilo kama unataka kupata mazao mengi na mazuri. Hivyo pia ndivyo ilivyo kwenye mafanikio yako, huwezi kusema unataka kufanikiwa, ukajiwekea maono na malengo yako ya mafanikio halafu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz