MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA USIKU; JE UNAFUNDISHIKA NA UZOEFU…
“Experience teaches only the teachable.” —Aldous Huxley Wanasema uzoefu ni mwalimu mzuri, Kwamba kile unachofanya na kupata matokeo fulani, unajifunza na kufanya kwa ubora zaidi au kutokufanya wakati mwingine. Lakini vipi wale ambao wanarudia makosa yale yale kila mara, Wale ambao kila wakati wapo kwenye madeni, Wale ambao kila biashara