1862; Kama Umeshangazwa, Hujafanya Kazi Yako…

By | February 5, 2020
Kama umeshangazwa na chochote kilichotokea kwenye maisha yako, kwa kujiambia kwamba hukutegemea kitokee, basi jua tatizo ni lako, hujafanya kazi yako sawasawa, hujawa na maandalizi ya kutosha. Kila kitu kinaweza kutokea wakati wowote ule, hivyo kutegemea kisitokee haikizuii kitu kutokea. Unapaswa kuifanya kazi yako sawasawa, kwa kujiandaa kwa matokeo yoyote

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz