1867; Ana Laki Moja Kwa Ajili Yako…

By | February 10, 2020
Sababu kubwa inayopelekea watu kuahirisha mambo ni kwa sababu hawana uhakika wa matokeo wanayokwenda kupata. Pata picha unahitaji kuwatembelea wateja kuwaeleza kuhusu bidhaa au huduma yako, lakini huna uhakika kama watakubali na kununua au la. Unapoongea na wateja wachache na wakakuambia hapana, ni rahisi kuahirisha, kujiambia utaendelea siku nyingine na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz