1883; Hupangi Kuwa Kawaida…

By | February 26, 2020
Hakuna anayepanga kuwa kawaida, bali wengi wanaishia kuwa kawaida kwa kutokupanga. Kama huna mpango wa nani unataka kuwa, unaishia kuwa wa kawaida, utakuwaje kitu ambacho hukijui. Kama huna mpango wa nini unataka kupata, unaishia kupata vitu vya kawaida, utapataje kitu ambacho hukijui. Kama hupangi vitu vya tofauti, maana yake uko

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz