#TAFAKARI YA USIKU; CHUKI NI PESA…

By | February 27, 2020
Niliwahi kukuambia kwamba ukitaka fedha zaidi basi toa thamani zaidi. Leo nakuongezea kauli nyingine, ukitaka fedha zaidi, basi tafuta watu wengi zaidi wakuchukie. Kwa nini? Hii ni kwa sababu kama unataka kupata fedha zaidi, lazima ufanye tofauti na wengine wanavyofanya. Na utakapofanya tofauti, watu wataanza kukuchukia, Ndiyo maana chuki ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz