MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1889; Mzizi Mkuu Wa Hisia…
Sisi binadamu tunasukumwa na hisia kuu za aina mbili; hisia chanya na hisia hasi. Hisia hasi ni hasira, wivu, aibu, kutojiamini, tamaa na hatia. Hizi ni hisia ambazo zinakubomoa na kuwa kikwazo kwako kuyafurahia maisha yako, bila ya kujali umepiga hatua kiasi gani. Hisia chanya ni kujiamini, unyenyekevu, ujasiri, shukrani