1910; Usitumie Kuwasaidia Wengine Kama Kisingizio…

By | March 24, 2020
Tabia pekee ya sisi wanadamu ambayo imetupa mafanikio makubwa ni ushirikiano baina ya binadamu. Katika ushirikiano huu, kuna kutoa na kupokea. Kutoa ni sehemu ya ushirikiano huu ambayo inapewa uzito sana, kwa sababu ni rahisi watu kujisahau, wakapokea tu bila kutoa. Hivyo ili kujenga jamii bora, lazima kila mtu awe

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz