1911; Jipe Muda Wa Kuhofia…

By | March 25, 2020
Hakuna binadamu asiye na hofu, Hofu ni sehemu yetu wanadamu, ndiyo kitu pekee kinachotufanya tuendelee kuwa hai. Siku ambayo utaondoa kabisa hofu zote ulizonazo, ni siku ambayo utakuwa kwenye hatari kubwa. Hofu ni njia ya akili zetu kutuambia tunapaswa kuwa makini zaidi na kitu kwa sababu kuna madhara makubwa mbeleni.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz