1913; Asili Haikufanya Kazi Ya Bure…

By | March 27, 2020
Mmoja wa wanasayansi wa mageuzi (evolution) alifikiria kwamba asili huwa inatengeneza vitu vyenye matumizi. Kama kitu kitatengenezwa halafu kisitumiwe, basi huwa kinapotea. Kwa kufikiri huko, alikuja na dhana kwamba hapo zamani, nyoka walikuwa na miguu, ila kwa kuwa hawakuitumia miguu yao, basi ilipotea. Hakuwa sahihi kwenye nyoka, lakini alikuwa sahihi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz