#TAFAKARI YA ASUBUHI; USITAKE KUWA SAHIHI KILA WAKATI…

By | March 31, 2020
“Nothing can make a person’s soul softer than the understanding of his own blame, and nothing can make one harder than the desire always to be right.” —After the TALMUD Kama unataka kuwa sahihi kila wakati, maana yake haupo tayari kujifunza. Hili linaufanya moyo wako kuwa mgumu, unakuwa na kiburi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz