1923; Hii Bahari Ina Shida Gani?

By | April 6, 2020
Ukiangalia dunia, unaweza kujikuta una maswali mengi sana. Ukiangalia maji ya bahari, utashangaa jinsi ambavyo mawimbi yanatengenezwa, jinsi kubwa na kujaa kunavyotokea. Unaweza kujiuliza hii bahari ina shida gani? Kwa nini isingekuwa tu tulivu muda wote? Ukiangalia ardhi, nako pia unaweza kuwa na maswali mengi. Kuna maeneo yana milima na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz