1938; Tatizo Siyo Kushindwa, Bali Uadilifu…

By | April 21, 2020
Kabla hujafikia mafanikio makubwa kwenye maisha yako, utashindwa mara nyingi sana. Swali ambalo utakuwa nalo ni je watu wataendeleaje kukuamini ikiwa unashindwa? Na jibu liko wazi, watu hawakuamini kwa kushinda au kushindwa kwako, bali watu wanakuamini kwa uadilifu ulionao. Kama wewe ni mwadilifu, hata ushindwe mara ngapi, watu watakuamini, kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz