1941; Thamani Ya Wazo La Biashara…

By | April 24, 2020
Kipindi cha nyuma, kabla ya kuingia kwenye hizi zama za taarifa, wazo la biashara lilikuwa kitu kizito sana. Wazo la biashara lilikuwa na thamani kubwa sana na watu walifanya mawazo yao ya biashara kuwa siri na kuyalinda kwa gharama kubwa. Lakini tangu tumeingia kwenye zama za taarifa, taarifa zimekuwa zinasambaa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz